PICHA ZA NDOA YA ANTI EZEKIEL

Unknown | 1:29 AM | 0 comments
Alf Alf Mabrook Rahma & Demonte Mr & Mrs Demonte katika pose wakati wa reception yao  Mrs Rahma Demonte katika pose mara baada ya kufunga ndoa Mrs Demonte akiwa katika pose na Milly Almasi Sunday & Aunty wakilisakata rhumba New couple in town Aunty akiwa na mume wake na wapambe wao. Mashallah JG Blog inapendakuwatakia Rahma na Demonte kila la kheri katika ndoa yao na mibaraka tele kutoka kwa Mwenyezi

USHER AMFUKUZA ALIYEKUA MKE WAKE AKTIKA NYUMBA HII

Unknown | 1:27 AM | 0 comments
Usher’s getting his way (again)…and, while a source reported that his Tameka’s house had been listed, the reporter didn’t have snapshots of what his estranged-ex was being forced to roll out on. The 12,544 square-foot pad was bought for $3 mill back in 2007 and it boasts 6 bedrooms, 7 baths, 10-foot ceilings, massive pool, in-home gym, 4 fireplaces, a library, and more. Hit the flip for more shots of their spacious crib

HAMMY B AONGEA LA MOYO KUHUSU MA PRODUCER WENZAKE HAPA BONGO

Unknown | 1:21 AM | 0 comments
 Producer mkali anaye aminika kwenye tasnia ya mziki hapa Bongo almaarufu kama Hammy b ambaye alishatengeneza ngoma kali kama ya AY na FA ,Habari ndio hiyo, Nangoja Ageuke na ngoma nyingine kali kutoka hapo hapo B hits sasa Latest info kutoka kwa Hammy B ni kwamba baada ya kupiga naye story za hapa na pale kuhusiana na game la hapa Tzee aliweza kufunga na kusema kwamba tatizo kubwa linalofanya muziki wetu kukwama ni ma producer kwan

Ndauka ajitetea kwa kirefu

Unknown | 3:11 AM | 0 comments
MWIGIZAJI na mtayarishaji wa filamu Swahiliwood, Rose Ndauka amekanusha kuhusu madai kuwa amekuwa akiitisha usahili kwa wasanii Chipukizi na kuwachukulia fedha bila kuwashirikisha katika filamu zake. Rose amekanusha shutuma hizo baada ya wasanii ambao waliwahi kufika katika ofisi za mwanadada huyo kushiriki katika usahili na kunyimwa nafasi. �Jamani si rahisi kuchukua kila mtu anayeshiriki katika usahili inawezekana kweli akawa na sifa laki

STORI KUHUSU MECHI YA TAIFA STARS NA HARAMBEE NOV 14 2012 MWANZA.

Unknown | 3:10 AM | 0 comments
  Time hii nimeitumia kujiunga na bongostaz.blogspot.com kwa ajili ya stori waliyoripoti kwamba timu ya soka ya taifa ya Tanzania Taifa Stars imeifunga Kenya (Harambee Stars) kwa goli 1-0 kwenye Uwanja wa CCM Kirumba Mwanza novemba 14 2012 katika mchezo wa kirafiki uliopo pia katika kalenda ya Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA). Hadi mapumziko Stars ilikuwa mbele kwa bao 1-0 lililofungwa na Aggrey Morris katika dakika ya nne ba

DIAMOND KAANDIKA KWENYE WEBSITE YAKE, KILICHOSABABISHA AJALI YAKE NI HIKI.

Unknown | 3:09 AM | 0 comments
. .

HII NDIO LIST ILIYOVUJA YA MISHAHARA WANAYOLIPWA WACHEZAJI WA MANCHESTER CITY

Unknown | 3:08 AM | 0 comments
.
 
Support : Emmanuel Hilonga | Gody Godwin
Copyright © 2011. unknown - All Rights Reserved
Template Modify by Eddie Sucre
Proudly powered by Blogger